1 Chronicles 1:34-39

Wazao Wa Sara


34 aIbrahimu alikuwa baba wa Isaka.
Wana wa Isaka walikuwa:
Esau na Israeli.

Wana Wa Esau

(Mwanzo 36:1-19)


35 bWana wa Esau walikuwa:
Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

36 cWana wa Elifazi walikuwa:
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;
Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

37 dWana wa Reueli walikuwa:
Nahathi, Zera, Shama na Miza.

Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu

(Mwanzo 36:20-30)


38 eWana wa Seiri walikuwa:
Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.

39 fWana wa Lotani walikuwa wawili:
Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Copyright information for SwhKC